Tuesday, 5 May 2015

WANAFUNZI WALIA VITUONI ATHARI ZA MGOMO WA MABASI NA DALADALA JIJINI MBEYA


Leo hakuna adhabu ya kuchelewa namba shule.......ni wanafunzi wa shule mbaimbali jijini mbeya wakiwa katika kituo cha mabasi madogo daladala Mwanjelwa wakisubiri usafiri wa aina yoyote utakao wafikisha mahala wanapo takiwa kufika mara baada ya kuwepo kwa mgomo wa madereva wa daladala na mabasi makubwa wakishinikiza serikali kuwatatulia kero mbalimbali walizo nazo ambazo wanataka wamiliki au waajili wao wazipatie ufumbuzi(.Picha na Fahari News)



HE!!! kumbe hawa si abiria ni madereva na makonda wa daladala nao wakihaha kutaka kutoa huduma lakini ndo hivyo wanasubiri tamko la viongozi wao




NEW ZEALAND COMMONWEALTH SCHOLARSHIPS


MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL TRAINING NEW ZEALAND COMMONWEALTH SCHOLARSHIPS: 2015 AWARDS 
Applications are invited from qualified Tanzanians for Masters and Doctorate programmes for the 2015 New Zealand Commonwealth Scholarships under the Commonwealth Scholarship and Fellowship Plan (CSFP). QUALIFICATIONS Masters. Applicants for Masters’ degree must: • Have a Bachelor Degree with GPA of not less than 3.5 (this is not applicable for Health Sciences); • Be not than 35 years by February, 2016. Doctorate. • Have a Masters’ degree with GPA of not less than 4.0 or an average of “B” and above. • ØBe not more than 40 years by February, 2016. MODE OF APPLICATION  ØAll applicants must fill in application forms which can be easily accessed from the following link: http://www.aid.govt.nz/funding-and-contracts/scholarships/eligible-countriesregions or you can goggle “application form New Zealand Commonwealth Scholarships 2015”
 ØAll applicants must seek and get admission from one of the Universities in New Zealand and they should attach a copy of admission notice with the filled application form.  ØAll applicants must attach the Evidence from the Higher Education Students’ Loans Board to show that they have started repayment of the loans or completed paying the loans or they were not beneficiaries.  Applicants must ensure that they fulfill all requirements which are depicted on page 2 of the application form. All applications should be addressed to:- The Permanent Secretary, Ministry of Education and Vocational Training, P. O. Box 9121, DAR ES SALAAM and reach him not later than 15th June, 2015
 Source: www.moe.go.tz

Thursday, 30 April 2015

Welcome to Tusiime Schools


Tusiime Schools
Tusiime Schools is a community of approximately three thousand student from Nursery to Secondary. For students whose curiosity is as great as their ambition, whose desire to serve matches their desire to achieve. Tusiime Schools provides boundless opportunities for intellectual, creative and personal growth.
Teaching is consistently good and teachers are always striving to improve. They plan lessons that excite the pupils and there is a strong focus on investigative approaches to learning in all lessons.

Ajira Mpya za Walimu Kwa Mwaka 2015.


Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inatangaza ajira ya wahitimu wa mafunzo ya ualimu na mafundi sanifu maabara katika mamlaka ya Serikali za Mitaa.
kwa Maelekezo zaidi tafadhali soma taarifa zifuatazo: