Kushughulika na ukatili wa kijinsia kunajumuisha kufanya mambo mbalimbali na aghalabu yanayochanganya. Hebu kitafakari kisa hiki.
Msichana wa shule mkorofi anabishana na walimu wake na hataki kujiona yuko sawa kama wasichana wengine darasani. Anapokosea anakataa kuadhibiwa.