Tuesday 28 April 2015

Eeast Africa essay writting competition 2015


The East African Community Secretariat has organized the EAC students essay writing competition year 2015. The Essay writing competition is intended to broaden knowledge of the school going population on EAC activities. The topic for year 2015 in English is “Why is political stability important for the intergration of East African Community Partner States” In Kiswahili is “Jadili umuhimu wa utulivu wa kisiasa katika mtangamano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki” The competition is open to students in Form 1 to form 4 who are required to write essays between 1000 – 1500 words.

Waraka wa Elimu na Vigezo vya Udahili kwa wanafunzi wa kidato cha tano


Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi inatoa Waraka kuhusu vigezo vya kudahili wanafunzi wa Kidato cha Tano ili kuwaongoza wamiliki wa Shule za Sekondari zenye Kidato cha Tano katika kudahili wanafunzi wa Kidato cha Tano, mwaka 2015. Waraka huu utatumika kwa shule zote, yaani za Serikali na zile zisizokuwa za Serikali.

Bonyeza linki hii hapa  kusoma waraka 

Sera Mpya ya Elimu na Mafunzo

Fungua link hii hapa chini usome Sera  mpya ya Elimu na Mafunzo 2014

Sera ya Elimu na mafunzo 2014