Monday 25 May 2015

Tamasha la elimu lilivofana 2015

2
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi Sista  Flosy Sequeire, Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Saint Francis ya Mbeya tuzo maalum ya kutambua  ufalu mzuri wa wanafunzi wa shule  hiyo  wakati alipofungua  maadhimisho ya wiki ya Elimu kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Mai11, 2015. Wemgne kutoka kushoto ni  Waziri wa Elimu na Mafunzi ya Ufundi, Dkt. Shukuru Kawambwa, Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Seriklai za Mitaa, Kassim Majaliwa, Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa na Mbunge wa Viti Maalum, Margareth Sitta.

kwanini shule za binafsi zinafaulu vizuri zaidi kuliko za serikali?


Performance of Secondary Schools in Tanzania

Almost the performance of O-level Government secondary schools is very poor compared to private schools. The main objective of this article is to find the causes for the mass failure of most form four students in their National examinations (NECTA). The most used method in Data collection is like direct interview and documentary sources where by a team of twenty students was selected to obtain data, ten gentlemen and ten ladies where interviewed. Below are causes identified:
Lack of School Fees Most of the Government o-level schools for Tanzania pays 20,000/= approximately to about a year. Most of them do not afford to pay for the school fees allocated by the Government. The act of the school management to suspend them to home by giving reason that these students has not paid a school fees demoralize the capacity for them to acquire better education.